Kiukweli unapo zungumzia mapinduzi ya moviez Bongo basi Star mpya Dr.Kelvi huwezi acha mtaja pia ni moja ya wasanii wachache walio weza kuja kasi na kufungua kampuni ya Production pia na usambazaji SKY LINK PRODUCTION ambayo ndiyo pia ianayo sambaza kazi zake
No comments:
Post a Comment